WIZARA YA MADINI, NHC ZASAINI MKATABA UJENZI WA OFISI DODOMA

Na Mwandishi wetu Dodoma Wizara ya Madini imesaini Mkataba wa Shilingi Bilioni 22.02 na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wa kuanza ujenzi wa Ofisi za Wizara katika Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Hafla ya kusaini Mkataba wa ujenzi huo imefanyika katika Ofisi za Wizara ya Madini Mtumba jijini Dodoma Septemba 7, 2021 ambapo